UWEZESHAJI KIUCHUMI NA MAENDELEO YA SEKTA BINAFSI

UWEZESHAJI KIUCHUMI NA MAENDELEO YA SEKTA BINAFSI

Uwezeshaji wa kiuchumi na Maendeleo ya Sekta Binafsi  ni juhudi za makusudi zinazoanzishwa na Serikali ili kuwasaidia wananchi wake waweze kushiriki vizuri katika shughuli za kiuchumi. Uwezeshaji unaweza kufanyika kwa kupitia Sera sahihi, Sheria sahihi, kukuza ujuzi wa wananchi, upatikanaji wa mitaji nafuu, taarifa sahihi za masoko na programu mahsusi ambazo zinazompa fursa mwananchi ya kushi...

Majukumu

Kuandaa, kufuatilia, kutathmini na kupitia utekelezaji wa sera, sheria, mikakati, programu na miongozo kuhusu maendeleo ya sekta binafsi na uwezeshaji kiuchumi

Kuweka mazingira yatakayowezesha watanzania kushiriki kikamilifu katika uchumi rasmi

Kuratibu majadiliano kuhusu uwezeshaji kiuchumi na maendeleo ya sekta binafsi;

Taasisi zilizo chini ya Wizara

Wasiliana Nasi

  • Wizara ya Viwanda na Biashara
  • Mji wa Serikali, Mtumba, Mtaa wa Viwanda S.L.P 2996, 40478, Dodoma Jengo la Mambo ya Nje 4th Floor Shaaban Robert Street, Dar es Salaam, Tanzania
  • 0
  • 0
  • info@mit.go.tz