Wizaraya Viwanda na Biashara (MIT) ilianjisha kitengo cha KAIZEN Tanzania (TKU) ili kueneza falsafa ya KAIZEN nchini kote. Falsafa hii inalenga kutumia ipasavyo rasilimali zilizopo, pamjoya na mbinu bunifu na shirikishi, ili kupunguza gharama zisizo za lazima katika viwanda kupitia kuongeza tija na ubora ndani ya mnyororo wa thamani. Kuanzia 2023, TKU inashughulikia Huduma za Maendeleo ya Biashara (BDS)...
Kutekeleza 5S katika makampuni ya biashara, kuainisha changamoto zitakazopatikana na kuzitatuwa, ili kuwa na tija ya juu na bidhaa ubora. *5S: ni mojawapo ya mbinu za msingi za KAIZEN kuona changamoto na suluhisho la biashara.
Kuchochea uzalishaji wa juu unaosababisha kupunguza gharama muhimu za biashara