Programu ya EU-EAC Market Access Upgrade Programme (MARKUP)

Programu ya EU-EAC Market Access Upgrade Programme (MARKUP)

Tanzania ni moja ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zitakazonufaika na Mradi wa EU-EAC Market Access Upgrade Programme (MARKUP). Mradi huo unafadhiliwa na Umoja wa Ulaya ili kusaidia nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kutekeleza matakwa ya Mkataba na Itifaki za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Wasiliana Nasi

  • Wizara ya Viwanda na Biashara
  • Mji wa Serikali, Mtumba, Mtaa wa Viwanda S.L.P 2996, 40478, Dodoma Jengo la Mambo ya Nje 4th Floor Shaaban Robert Street, Dar es Salaam, Tanzania
  • 0
  • 0
  • info@mit.go.tz