MAENDELEO YA VIWANDA VIDOGO NA BIASHARA NDOGO

MAENDELEO YA VIWANDA VIDOGO NA BIASHARA NDOGO

Sekta ya Viwanda vidogo na Biashara ndogo inasimamiwa na Kitengo cha Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Kitengo hiki kinajukumu kuu la kusimamia na kuratibu Maendeleo ya Sekta ya Viwanda Vidogo na Biashara Ndogo kupitia sera, mikakati, mipango na program mbalimbali

Majukumu

Kuandaa, kurejea, kufuatilia na kuwezesha utekelezaji wa Sera, mikakati, mipango na program za maendeleo ya sekta ya SME

Kuwezesha, uhitimu (SME graduation), ukuaji, urasimishaji na maendeleo ya viwanda vijijini 

Kupanga mikakati ya kuwezesha ushiriki wa makundi malaalum katika ujasiriamali na maswala mtambuka 

Kuratibu mipango na (initiatives) za wadau wanaoshiriki katika maendeleo ya sekta

Kuwezesha upatikanaji wa huduma za kifedha na zisizo za kifedha kwa wajasiriamali

Kuwezesha upatikanaji wa sehemu mahsusi za kufanyia kazi kwa SMEs.

Kukuza ujasiliamali na kuendeleza Ujuzi 

 

Sera & Mikakati

Sera ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara Ndogo

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
  • Sera ya Maendeleo ya Viwanda na Biashara Ndogo 2003

    Taasisi zilizo chini ya Wizara

    Wasiliana Nasi

    • Wizara ya Viwanda na Biashara
    • Mji wa Serikali, Mtumba, Mtaa wa Viwanda S.L.P 2996, 40478, Dodoma Jengo la Mambo ya Nje 4th Floor Shaaban Robert Street, Dar es Salaam, Tanzania
    • 0
    • 0
    • info@mit.go.tz