MTANGAMANO WA BIASHARA

MTANGAMANO WA BIASHARA

Mtangamano wa Biashara  inasimamiwa na Idara  ya Mtangamano wa Biashara chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Kitengo hiki  kinajukumu kuu la Kutambua na kukuza fursa za biashara katika ushirikiano wa kibiashara, baina ya nchi rafiki, kikanda na kimataifa    

Majukumu

Kuandaa, kufuatilia, kutathmini na  kurejea utekelezaji wa Sera, mikakati, mipango, programu, sheria na kanuni zinazohusu mtangamano wa biashara 
 

Kutambua na kukuza fursa za biashara katika ushirikiano wa kibiashara, baina ya nchi rafiki, kikanda na kimataifa

Kuandaa msimamo wa nchi katika majadiliano ya kibiashara baina ya nchi rafiki, kikanda na kimataifa kwa kushirikiana na wadau wengine

Kuratibu utekelezaji wa majukumu ya mikataba katika majadiliano ya kibiashara baina ya nchi rafiki, kikanda na kimataifa

Sera & Mikakati

Sera ya Biashara kwa Uchumi Shindani na Ukuaji wa Mauzo ya Nje

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
  • Sera ya Biashara kwa Uchumi Shindani na Ukuaji wa Mauzo ya Nje 2003

    Miradi / Programme

    Wasiliana Nasi

    • Wizara ya Viwanda na Biashara
    • Mji wa Serikali, Mtumba, Mtaa wa Viwanda S.L.P 2996, 40478, Dodoma Jengo la Mambo ya Nje 4th Floor Shaaban Robert Street, Dar es Salaam, Tanzania
    • 0
    • 0
    • info@mit.go.tz