MAENDELEO YA BIASHARA

MAENDELEO YA BIASHARA

Sekta ya Biashara na Masoko inasimamiwa na Idara ya Maendeleo ya Biashara chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Idara hii inajukumu kuu la kuweka Mfumo wenye tija na ufanisi katika biashara na masoko ili kukuza uchumi wa viwanda  

Majukumu

Kuandaa, kufuatilia, kutathmini na kurejea utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za biashara na masoko

Kuwezesha upatikanaji wa bidhaa na huduma na usambazaji wa taarifa za biashara na masoko

Kufanya utafiti wa masoko, intelijensia ya masoko na uchambuzi wa mnyororo wa thamani kwa bidhaa na huduma kwa masoko ya ndani na nje

 Kusimamia  ukuaji wa biashara na masoko na kuhakikisha ufuasi na utendaji wa taasisi za udhibiti 

Kuwezesha sekta binafsi kujengewa uwezo wa kushiriki katika biashara na masoko

Kuwezesha na kuendeleza Miundombinu na Vifaa vya Masoko 

 Kuwezesha uwekezaji katika Biashara

 

Sera & Mikakati

Sera ya Biashara kwa Uchumi Shindani na Ukuaji wa Mauzo ya Nje

  • star
  • star
  • star
  • star
  • star
  • Sera ya Biashara kwa Uchumi Shindani na Ukuaji wa Mauzo ya Nje 2003

    Miradi / Programme

    Taasisi zilizo chini ya Wizara

    Wasiliana Nasi

    • Wizara ya Viwanda na Biashara
    • Mji wa Serikali, Mtumba, Mtaa wa Viwanda S.L.P 2996, 40478, Dodoma Jengo la Mambo ya Nje 4th Floor Shaaban Robert Street, Dar es Salaam, Tanzania
    • 0
    • 0
    • info@mit.go.tz