Habari
Dkt. Abdallah akutana na TAMSTOA
![](https://www.viwanda.go.tz/uploads/news/121cf05e6afe54755ceb2c07d62cdb6a.jpeg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah amekutana na Kufanya mazungumzo na viongozi wa Medium and Small Track Owners Association [TAMSTOA] kwa lengo la kupokea changamoto wanazokumbana nazo katika kutekeleza shughuli zao Novemba 11 , 2023 katika Hotel ya Johari Rotana jijini Dar es Salaam.