Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Sera na Mipango

Lengo

Kutoa huduma na ushauri wa kitaalamu katika uaandaaji, Utekelezaji, Ufuatiliaji na tathimini wa Sera za maendeleo.

Majukumu

Idara hii  ina majukumu yafuatayo

  • Kuratibu maandalizi ya Sera za Wizara, kufuatilia utekelezaji na kufanya tathmini ya matokeo ya utekelezaji wa Sera zote;
  • Kuchambua sera za sekta nyingine, Kuzioanisha na malengo ya sekta ya Viwanda na Biashara pamoja na kutoa muongozo;
  • Kuratibu maandalizi na utekelezaji wa Mipango na Bajeti ya Wizara pamoja na Taasisi zake (Internal Resource Mobilization);
  • Kuratibu Masuala ya Programu na Miradi kutoka kwa Wadau wa Maendeleo (External Resource  Mobilization);
  • Kufanya ufuatiliaji na tathmini na kuandaa taarifa za utekelezaji wa Wizara ikiambatana na maandalizi ya Hotuba ya Bajeti na Taarifa za mwaka za Hali ya Uchumi; na
  • Kuhamasisha na kuwezesha utoaji wa huduma wa Sekta Binafsi katika Wizara