Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Huduma za Sheria

Lengo

Kutoa ushauri wa kitaalamu katika Huduma za Sheria  kwa Wizara.

Majukumu

  • Kuandaa rasimu na kufanya mapotio ya Sheria;
  • Kutoa ushauri wa kisheria kwa Wizara na Taasisi;
  • Kuandaa na kufanya mapitio ya Mikataba; na
  • Kuendesha mashauri Mahakamani na katika Mabaraza ya  maamuzi.