Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

  • Sep 22, 2023

 Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb.) akikagua ujenzi wa Ofisi ya Machinga Mkoa wa Geita

Soma zaidi
  • Sep 22, 2023

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb.)amezitaka Taasisi zote za umma ambazo hutoa huduma kwa wateja kutoa elimu kwa wachimbaji wadogo wa ma...

Soma zaidi
  • Sep 21, 2023

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekitaka Kiwanda cha Kuzalisha Bidhaa za Kibaolojia Tanzania (TBPL)

Soma zaidi
  • Sep 20, 2023

Tanzania Yazindua Kiwanda Kikubwa cha Vioo Afrika Mashariki na Kati

Soma zaidi
  • Sep 19, 2023

Tanzania na Uturuki waimarisha uhusiano wa biashara

Soma zaidi
  • Sep 18, 2023

Wafanyabiashara  watakiwa kuhakikisha Bidhaa zinakaguliwa na TBS kabla ya matumizi.

Soma zaidi
  • Sep 15, 2023

Dkt Kijaji: Msiuze ziada ya Chakula 

Soma zaidi
  • Sep 15, 2023

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), akikagua Trekta aina ya URSUS likilima shamba la Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) Mkoani Mor...

Soma zaidi
  • Sep 13, 2023

Kongamano la Kimataifa la nchi zinazotekeleza Mradi wa EIF lafanyika tarehe 11 - 13 Septemba, 2023 Geneva, Uswizi .

Soma zaidi
  • Sep 13, 2023

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji(Mb.) amesema Serikali inaendelea kuboresha mazingira ya ufanyaji biashara nchini

Soma zaidi
  • Aug 18, 2023

Dkt. Hashil Abdallah afanya Mazungumzo na Wawekezaji kutoka China.

Soma zaidi
  • Aug 17, 2023

Serikali inatambua juhudi za sekta binafsi kuendelea kuwekeza katika viwanda vya kukamua mbegu za mafuta.

Soma zaidi
  • Aug 17, 2023

Serikali kuunganisha Leseni za Biashara zinazotolewa na BRELA na Halmashauri kuwa moja

Soma zaidi
  • Aug 17, 2023

Kamati yaipongeza Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Kukutana na Wafanyabiashara.

Soma zaidi
  • Aug 15, 2023

Kamati yaipongeza TANTRADE kwa Kuboresha Mazingira ya Biashara

Soma zaidi
  • Aug 11, 2023

Mhe. Dkt. Kijaji (Mb) aiagiza menejimenti ya kiwanda cha sukari cha Mkulazi Kilichopo Mbigiri wilayani Kilosa Mkoani Morogoro kukamilisha ujenzi wa kiwanda hich...

Soma zaidi
  • Aug 10, 2023

Kigahe Aziagiza Taasisi kuwafuata  wafanyabiashara na kutoa elimu kuhusu tozo

Soma zaidi
  • Aug 10, 2023

Dkt. Kijaji awataka wakulima kuongeza uzalishaji wa Miwa

Soma zaidi
  • Aug 09, 2023

Kigahe Azitaka Taasisi za Umma kutoa huduma kwa wafanyabiashara  kwa weledi na uadilifu 

Soma zaidi
  • Aug 06, 2023

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amesema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya biashara kwa kuendelea kupunguza tozo na kodi  zinazoku...

Soma zaidi