Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Yaliyojili katika hafla za uwekaji jiwe la msingi jengo la (TBS) VIWANGO HOUSE,


Waziri Mkuu wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzani Mhe. Kasimu Majaliwa Majaliwa akipokea tuzo ya shukrani  kwa niaba ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania katika hafla ya utiaji  wa jiwe la msingi wa  jengo la Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linalojengwa katika eneo la Ndajengwa jijini Dodoma tarehe 04 Juni 2025.