Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

BI. SANGA AONGOZA KIKAO CHA TATHMINI YA UHURU WA KIUCHUMI DODOMA


Mchumi Mkuu, Bi. Helena Sanga akiambatana na baadhi ya Watalaam wa Wizara ya Viwanda na Biashara wakiwa kwenye kikao cha kupokea ripoti ya tathmini ya Uhuru wa Kiuchumi kutoka Taasisi ya Liberty Sparks Septemba 23, 2025 jijini Dodoma.