Habari
Ufunguzi wa Kiwanda cha kuchakata pamba cha Shree Rajendra Agro Industries Limited kilichopo Maswa mkoani Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Kiwanda cha kuchakata pamba cha Shree Rajendra Agro Industries Limited kilichopo Maswa mkoani Simiyu tarehe 18 Juni, 2025 akiwa na viongizi mbalimbali akiweno na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Exaud Kigahe (watatu kutoka kushoto