Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Frederik Grootendorst, Mkurugenzi Mkuu na Mwakilishi wa Kampuni ya Shell nchini


Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Frederik Grootendorst, Mkurugenzi Mkuu na Mwakilishi wa Kampuni ya Shell nchini Tanzania.

Katika mazungumzo hayo wamejadili masuala mbalimbali ya kukuza ushirikiano kati ya Serikali na kampuni hiyo inayojihususha na uzalishaji na usambazji wa bidhaa za petroli

Mazungumzo hayo yamefanyika Leo Aprili 21, 2021 Dar es salaam.