Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Ushiriki wa Kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na Biashara cha kujadili masuala ya Muungano


Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb) akishiriki Kikao cha Kamati ya Fedha, Uchumi na Biashara cha kujadili masuala ya Muungano kilichofanyika Oktoba 17, 2024 jijini Dodoma.