Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

CBE Boresheni wa mitaala ya kozi ili ziendane na mahitaji ya Soko la Ajira


Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah  Februari 13, 2023 amekutana na kujadiliana na Menejimenti ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kuhusu uboreshaji wa mitaala ya kozi zinazotolewa na chuo hicho ili iendane na mahitaji ya soko la ajira na mabadiliko ya teknolojia  pamoja na kifanya utafiti unaolenga kutatua  changamoto mbalimbali katika jamii na kukuza  biashara nchini.