Habari
Uwasilishaji wa Bajeti kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2025/2026
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Exaud Kigahe(Mb) akiwa na Viongozi wengine wakifuatilia uwasilishaji wa Bajeti kuu ya Serikali ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 iliyowasilishwa na Waziri wa Fedha Mhe.Mwigulu Nchemba Bungeni Jijini Dodoma Juni 12,2025.