Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Ufunguzi wa Kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd


 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe (Mb) na viongozi mbalimbali wakati akifungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na uchakataji pamba cha MOLI Oil Mills Co. Ltd 16 Juni, 2025 kilichopo Bariadi mkoani Simiyu.