Habari
Makabidhiano ya ofisi
Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji ambaye amehamishiwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof Adolph Mkenda akimuonesha Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Prof. Elisante Ole Gabriel moja ya kiatu bandia kilikichoingizwa nchini kinyemela.