Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Makatibu wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakutana Jijini Arusha


Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah akishiriki Mkutano wa "Donor Roundtable" ngazi ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki eneo la Uwezeshaji Biashara ( Trade Facilitation) uliofanyika Oktoba 6, 2023, Ukumbi wa Mikutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Jijini Arusha.