Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Tanzania na Zambia zakubaliana kutatua changamoto za kibiashara


Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah  akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda Zambia  Bi Lillian Bwalya wakitia saini Makubaliano ya kutatua changamoto za kibiashara 8 kati 24 kati ya Tanzania na Zambia wakati wa  Mkutano wa Pamoja wa Kujadili Changamoto za Biashara baina ya nchi hizo uliofanyika 09 - 10/10/2023 katika Kituo cha Huduma za Pamoja Mpakani- Tunduma, Songwe. Changamoto 16 zitatatuliwa kabla ya Disemba 2023.