Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Uzinduzi wa Kiwanda Cha kuchakata Pamba Cha Biosustain kilichopo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan akiweka Jiwe la Msingi la uzinduzi wa Kiwanda Cha kuchakata Pamba Cha Biosustain kilichopo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu wakati wa ziara ya kikazi leo Juni 17,2025.