Habari
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi akitembela mabanda kabla ya ufunguzi
Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Mwinyi akiwa na Viongozi wengine wa Wizara wakiongozwa na Waziri wa Viwanda na Biashara akitembelea Mabanda mbalimbali ya Maonesho kabla ya Ufunguzi wa Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) Julai 07,2025.