Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Wadau wakutana kuandaa andiko la mradi wa SECO


Ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na huduma za mradi (UNOPS) kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji (MITI) leo tarehe 24 Septemba, 2018 yafungua warsha ya kuandaa mradi wa kuunganisha wakulima na wasindikaji wa mbogamboga, matunda na sekta ya utalii katika hoteli ya Nashera, Mkoani Morogoro.