Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.),  Julai 1, 2023 ametembelea banda la  Tanzania katika Maonesho ya tatu baina ya China na Afrika


Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.),  Julai 1, 2023 ametembelea banda la  Tanzania katika Maonesho ya tatu baina ya China na Afrika ambayo yalianza tarehe 29 Juni, 2023. Maonesho hayo yanafanyika jijini Changsha, China.