Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

  • Jul 03, 2021

SERIKALI ITAONGEZA NGUVU KATIKA UZALISHAJI ILI KUKABILI CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA MALIGHAFI ZA VIWANDA NCHINI.

Soma zaidi
  • Jun 28, 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo (MB) ameitaka FCC kuweka mazingira bora ya udhibiti wa ushindani wa biashara nchini

Soma zaidi
  • Jun 28, 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara ajadili faida za Mkataba wa AfCFTA na Katibu Mkuu Mtendaji wa Sekretarieti ya AfCFTA

Soma zaidi
  • Jun 28, 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa mgeni rasmi katika maonesho ya 45 ya sabasaba mwaka 2021.

Soma zaidi
  • Jun 24, 2021

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imeagiza Wakala wa Vipimo (WMA) na Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) kuendelea kubores...

Soma zaidi
  • Jun 19, 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara awataka wanachama wa CTI kujadili Maendeleo ya Viwanda nchini

Soma zaidi
  • Jun 18, 2021

Waziri Mkuu awahimiza wawekezaji kuendelea kuwekeza nchini

Soma zaidi
  • Jun 18, 2021

Prof. Mkumbo awaasa Wadau wanaohusika na kuwezesha uwekezaji wa Viwanda SEZ

Soma zaidi
  • Jun 17, 2021

Wadau wa Sekta Binafsi wajadili Mwelekeo wa Sera ya Maendeleo ya Viwanda vidogo na Biashara ndogo

Soma zaidi
  • Jun 13, 2021

Ziara ya Waziri wa Viwanda na Biashara kiwanda cha Sukari cha Bagamoyo.

Soma zaidi
  • Jun 10, 2021

Kamati ya Kudumu ya Bunge Viwanda, Biashara na Mazingira yaipongeza BRELA kwa kuboresha utendaji kazi.

Soma zaidi
  • Jun 04, 2021

Mhe. Kigahe (Mb) ashiriki Kikao cha kamati ya kudumu ya bunge ya bajeti

Soma zaidi
  • May 31, 2021

TANZANIA NA KENYA ZAKUBALIANA KUONDOA VIKWAZO VYA BIASHARA VISIVYO VYA KIUSHURU   

Soma zaidi
  • May 31, 2021

Dkt. Hashil T. Abdallah afungua mkutano Mkuu wa mafundi Cherehani Mkoa wa Dodoma ( UMACHEDO).

Soma zaidi
  • May 26, 2021

PROF. MKUMBO : TUTUMIE VIFAA VINAVYOZALISHWA NA VIWANDA VYA NDANI KWENYE UJENZI WA MIRADI HAPA NCHINI

Soma zaidi
  • May 22, 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof. Kitila Mkumbo amewasilisha bungeni makadirio ya bajeti ya Wizara mwaka wa fedha 2021/22

Soma zaidi
  • May 03, 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo amekutana na kufanya kikao na wadau mbalimbali wa usafirishaji, uingizaji na utoaji wa mizigo bandarini. 

Soma zaidi
  • Apr 24, 2021

Naibu waziri Mhe. Exaud Kigahe (Mb) afanya ziara kiwanda cha kuchakata pareto Mkoani Iringa.

Soma zaidi
  • Apr 21, 2021

Waziri Prof. Kitila Mkumbo amekagua ukarabati wa Ofisi mpya za Wakala wa Usajili wa biashara na leseni (BRELA) unaotekelezwa na Construction Ltd

Soma zaidi
  • Apr 21, 2021

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo akiongea na menejimenti, uongozi na wafanyakazi wa Taasisi ya Wakala wa Usajili wa biashara na leseni (BRELA)

Soma zaidi