Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

  • May 25, 2023

Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Ashatu Kijaji (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda Mount Meru Millers Ltd.

Soma zaidi
  • May 23, 2023

SERIKALI imekutana na wadau wa kuzalisha mafuta ya kupikia kwa ajili ya kujadili changamoto zinazosababisha kushuka kwa bei ya mafuta na alizeti nchini.

Soma zaidi
  • May 23, 2023

Kamati ya Waziri Mkuu yaanza kukusanya maoni ya wafanyabiashara Dar es Salaam

Soma zaidi
  • May 22, 2023

Serikali itaendelea kuvijengea uwezo viwanda vya ndani vinavyozalisha Saruji.

Soma zaidi
  • May 13, 2023

Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka wakufunzi wa KAIZEN nchini Tanzania kuandaa mipango mikakati inayopimika ya...

Soma zaidi
  • May 12, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amewaahidi wafanyabiashara wa soko la mchele la Magugu mkoani Manyara kufanyia kazi   kero ya...

Soma zaidi
  • May 12, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameshiriki katika  Mkutano wa 15 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Fedha na Uchumi.

Soma zaidi
  • May 12, 2023

Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewaomba wamiliki wa viwanda kutumia taaluma ya KAIZEN

Soma zaidi
  • May 08, 2023

SERIKALI imewahakikishia watanzania kuwa uwekezaji mpya wa zaidi ya dola za Marekani milioni 400

Soma zaidi
  • May 04, 2023

Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata taratibu za kisheria

Soma zaidi
  • May 04, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Mhe. Dk Ashatu Kijaji (Mb.) ameliomba Bunge kupitisha bajeti ya zaidi ya Sh bilioni 119.018 mwaka wa fedha 2023-2024

Soma zaidi
  • May 04, 2023

Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) asema ndani ya mwaka mmoja, mifuko na program za uwekezaji wananchi kiuchumi imetoa mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 713.8

Soma zaidi
  • Apr 26, 2023

Tanzania na Malawi kukuza uhusiano wa kibiashara  na uwekezaji

Soma zaidi
  • Apr 20, 2023

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb,) aitaka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuratibu vyema sekta ya uwekezaji Nchini.

Soma zaidi
  • Apr 15, 2023

Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa ya soko huru Afrika

Soma zaidi
  • Apr 13, 2023

Mhe. Kigahe atoa rai kwa wazalishaji wa bidhaa zote za viwandani.

Soma zaidi
  • Apr 13, 2023

Wafanyabiashara wahimizwa kuchangamkia fursa AfCFTA

Soma zaidi
  • Apr 08, 2023

Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt Hashil Abdallah ametembelea Wakala wa Vipimo Kitengo Cha Bandari

Soma zaidi
  • Mar 29, 2023

Dkt. Kijaji aitaka TBPL Kibaha kuweka mikakati ya kuitangaza dawa ya kuua viluwiluwi vya mbu.

Soma zaidi
  • Mar 29, 2023

Maafisa Mawasiliano na Uhusiano Serikalini waaswa kutangaza mafanikio ya utekelezaji wa MKUMBI

Soma zaidi