Habari

- May 25, 2023
Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Ashatu Kijaji (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda Mount Meru Millers Ltd.
Soma zaidi
- May 23, 2023
SERIKALI imekutana na wadau wa kuzalisha mafuta ya kupikia kwa ajili ya kujadili changamoto zinazosababisha kushuka kwa bei ya mafuta na alizeti nchini.
Soma zaidi
- May 23, 2023
Kamati ya Waziri Mkuu yaanza kukusanya maoni ya wafanyabiashara Dar es Salaam
Soma zaidi
- May 22, 2023
Serikali itaendelea kuvijengea uwezo viwanda vya ndani vinavyozalisha Saruji.
Soma zaidi
- May 13, 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka wakufunzi wa KAIZEN nchini Tanzania kuandaa mipango mikakati inayopimika ya...
Soma zaidi
- May 12, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amewaahidi wafanyabiashara wa soko la mchele la Magugu mkoani Manyara kufanyia kazi kero ya...
Soma zaidi
- May 12, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameshiriki katika Mkutano wa 15 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Fedha na Uchumi.
Soma zaidi
- May 12, 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewaomba wamiliki wa viwanda kutumia taaluma ya KAIZEN
Soma zaidi
- May 08, 2023
SERIKALI imewahakikishia watanzania kuwa uwekezaji mpya wa zaidi ya dola za Marekani milioni 400
Soma zaidi
- May 04, 2023
Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata taratibu za kisheria
Soma zaidi
- May 04, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Mhe. Dk Ashatu Kijaji (Mb.) ameliomba Bunge kupitisha bajeti ya zaidi ya Sh bilioni 119.018 mwaka wa fedha 2023-2024
Soma zaidi
- May 04, 2023
Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) asema ndani ya mwaka mmoja, mifuko na program za uwekezaji wananchi kiuchumi imetoa mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 713.8
Soma zaidi

- Apr 20, 2023
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb,) aitaka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuratibu vyema sekta ya uwekezaji Nchini.
Soma zaidi



- Apr 08, 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt Hashil Abdallah ametembelea Wakala wa Vipimo Kitengo Cha Bandari
Soma zaidi
- Mar 29, 2023
Dkt. Kijaji aitaka TBPL Kibaha kuweka mikakati ya kuitangaza dawa ya kuua viluwiluwi vya mbu.
Soma zaidi
- Mar 29, 2023
Maafisa Mawasiliano na Uhusiano Serikalini waaswa kutangaza mafanikio ya utekelezaji wa MKUMBI
Soma zaidi