Habari

- Jan 04, 2025
Wafanyabiashara wa Mkoa wa Singida kwa kuendelea kuwa na biashara za kipekee zinazokuza jina la Mkoa wa Singida na kujulikana zaidi.
Soma zaidi

- Jan 03, 2025
Mwaka 2025 kipaumbele kikubwa ni pamoja na kuzindua mpango wa Miaka mitano kuanzia mwaka 2025 hadi 2030 wa ujenzi wa viwanda .
Soma zaidi
- Dec 27, 2024
DKT. ABDALAH: SERIKALI NA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA KUKUTANA KILA MWEZI
Soma zaidi
- Dec 25, 2024
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) ameshuhudia kuagwa kwa kundi la kwanza la asali ya Tanzania kabla ya kusafirishwa kwenda China.
Soma zaidi

- Dec 19, 2024
Sekta binafsi inajukumu muhimu katika maendeleo ya Tanzania, ikichangia katika kuongeza ajira, uvumbuzi, Pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.
Soma zaidi




- Dec 13, 2024
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Suleiman Serera akiongea na Menejimenti ya Wizara na Wakuu wa Taasisi zilizochini ya Wizara
Soma zaidi



- Dec 11, 2024
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe(Mb) ametoa rai kwa Vyama vya Ushirika Nchini kuwekeza katika Kuanzisha na kumiliki Viwanda ili sehemu kub...
Soma zaidi
- Dec 06, 2024
erikali ya Tanzania imedhamiria kujenga misingi shindani na endelevu yenye ubora wa utoaji wa huduma wenye kuwezesha biashara nchini
Soma zaidi
- Dec 06, 2024
DKT. JAFO ASHIRIKI KONGAMANO LA MAJADILIANO YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI 2024.
Soma zaidi
- Dec 06, 2024
Watumishi wa Wizara ya Viwanda na Biashara kukataa vitendo vya rushwa, kubadilika na kufuata maadili ya utumishi wa umma katika utendaji kazi wao wa kila siku n...
Soma zaidi
- Dec 05, 2024
Rai yatolewa kwa wawezekaji wazawa na wafanyabiashara kuhakikisha wanatumia fursa ya masoko mbalimbali ya ndani na nje ya mipaka ya Tanzania
Soma zaidi