Tanzania kushiriki Mkutano wa tano wa Kimataifa wa maandalizi ya Expo 2025
Serikali yatoa bilioni 14.4 Mradi wa Engaruka.
Maduka yaliyopo Ubungo Trade Center, Dar es Salaam, yamenunuliwa huku asilimia 90 ya maduka hayo yakimilikiwa na Watanzania.
Serikali inaendelea kuweka mazingira rafiki ya biashara ili kuwezesha upatikanaji wa ajira kwa watanzania.
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar ni sehemu muhimu ya kuwakutanisha wafanyabiashara Mbalimbali kutoka ndani na nje ya Nchi.
Wafanyabiashara wa Mkoa wa Singida kwa kuendelea kuwa na biashara za kipekee zinazokuza jina la Mkoa wa Singida na kujulikana zaidi.
Bonanza
Mwaka 2025 kipaumbele kikubwa ni pamoja na kuzindua mpango wa Miaka mitano kuanzia mwaka 2025 hadi 2030 wa ujenzi wa viwanda .
DKT. ABDALAH: SERIKALI NA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA KUKUTANA KILA MWEZI
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) ameshuhudia kuagwa kwa kundi la kwanza la asali ya Tanzania kabla ya kusafirishwa kwenda China.
Dkt. Serera: Fanyeni kazi kwa Ushirikiano
Sekta binafsi inajukumu muhimu katika maendeleo ya Tanzania, ikichangia katika kuongeza ajira, uvumbuzi, Pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.
DKT. JAFO ASHIRIKI ZOEZI LA KUPANDA MITI KIBAHA,PWANI.
DKT JAFO ATAKA MAONESHO YA BIASHARA NA UWEKEZAJI KUWA YA KITAIFA
SERIKALI YASISITIZA USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI KUONGEZA AJIRA
Tanzania na Kenya Kuimarisha Uhusiano wa Kiuchumi
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Suleiman Serera akiongea na Menejimenti ya Wizara na Wakuu wa Taasisi zilizochini ya Wizara
Kigahe: Toeni Huduma bora kuilea na kuikuza Sekta Binafsi
Serikali ya Tanzania Yakaribisha Wawekezaji kutoka UAE
Mazungumzo na Balozi wa Oman nchini, Mhe. Saud al Shidhani