Habari
- Jan 09, 2025
Maduka yaliyopo Ubungo Trade Center, Dar es Salaam, yamenunuliwa huku asilimia 90 ya maduka hayo yakimilikiwa na Watanzania.
Soma zaidi
- Jan 09, 2025
Serikali inaendelea kuweka mazingira rafiki ya biashara ili kuwezesha upatikanaji wa ajira kwa watanzania.
Soma zaidi
- Jan 05, 2025
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa Zanzibar ni sehemu muhimu ya kuwakutanisha wafanyabiashara Mbalimbali kutoka ndani na nje ya Nchi.
Soma zaidi
- Jan 04, 2025
Wafanyabiashara wa Mkoa wa Singida kwa kuendelea kuwa na biashara za kipekee zinazokuza jina la Mkoa wa Singida na kujulikana zaidi.
Soma zaidi
- Jan 03, 2025
Mwaka 2025 kipaumbele kikubwa ni pamoja na kuzindua mpango wa Miaka mitano kuanzia mwaka 2025 hadi 2030 wa ujenzi wa viwanda .
Soma zaidi
- Dec 27, 2024
DKT. ABDALAH: SERIKALI NA JUMUIYA YA WAFANYABIASHARA TANZANIA KUKUTANA KILA MWEZI
Soma zaidi
- Dec 25, 2024
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo (Mb) ameshuhudia kuagwa kwa kundi la kwanza la asali ya Tanzania kabla ya kusafirishwa kwenda China.
Soma zaidi
- Dec 19, 2024
Sekta binafsi inajukumu muhimu katika maendeleo ya Tanzania, ikichangia katika kuongeza ajira, uvumbuzi, Pato la Taifa na ukuaji wa uchumi kwa ujumla.
Soma zaidi
- Dec 13, 2024
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Suleiman Serera akiongea na Menejimenti ya Wizara na Wakuu wa Taasisi zilizochini ya Wizara
Soma zaidi
- Dec 11, 2024
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe(Mb) ametoa rai kwa Vyama vya Ushirika Nchini kuwekeza katika Kuanzisha na kumiliki Viwanda ili sehemu kub...
Soma zaidi
- Dec 06, 2024
erikali ya Tanzania imedhamiria kujenga misingi shindani na endelevu yenye ubora wa utoaji wa huduma wenye kuwezesha biashara nchini
Soma zaidi