Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Viwanda na Biashara

Habari

  • May 29, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe.Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika ufunguzi wa Jukwaa la Pili la Baraza la Mawaziri wa B...

Soma zaidi
  • May 26, 2023

SERIKALI yawahakikishia wawekezaji mazingira bora ya ufanyaji biashara katika kutumia fursa ya masoko ya ndani na nje ya nchi likiwemo soko la SADC, AGOA, AfCFT...

Soma zaidi
  • May 25, 2023

Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Mhe. Dkt.Ashatu Kijaji amekutana na Mkurungenzi mtendaji wa makampuni ya KEDA.

Soma zaidi
  • May 25, 2023

Dkt. Kijaji akutana na Mkurugenzi Mkuu wa cha A-Z. kilichopo Kisongo Jijini Arusha

Soma zaidi
  • May 25, 2023

Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Ashatu Kijaji (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda Mount Meru Millers Ltd.

Soma zaidi
  • May 23, 2023

SERIKALI imekutana na wadau wa kuzalisha mafuta ya kupikia kwa ajili ya kujadili changamoto zinazosababisha kushuka kwa bei ya mafuta na alizeti nchini.

Soma zaidi
  • May 23, 2023

Kamati ya Waziri Mkuu yaanza kukusanya maoni ya wafanyabiashara Dar es Salaam

Soma zaidi
  • May 22, 2023

Serikali itaendelea kuvijengea uwezo viwanda vya ndani vinavyozalisha Saruji.

Soma zaidi
  • May 13, 2023

Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka wakufunzi wa KAIZEN nchini Tanzania kuandaa mipango mikakati inayopimika ya...

Soma zaidi
  • May 12, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amewaahidi wafanyabiashara wa soko la mchele la Magugu mkoani Manyara kufanyia kazi   kero ya...

Soma zaidi
  • May 12, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameshiriki katika  Mkutano wa 15 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri wa Fedha na Uchumi.

Soma zaidi
  • May 12, 2023

Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewaomba wamiliki wa viwanda kutumia taaluma ya KAIZEN

Soma zaidi
  • May 08, 2023

SERIKALI imewahakikishia watanzania kuwa uwekezaji mpya wa zaidi ya dola za Marekani milioni 400

Soma zaidi
  • May 04, 2023

Serikali imetoa ufafanuzi kuhusu ununuzi wa hisa za Tanga Cement unaofanywa na Twiga Cement, kuwa umefuata taratibu za kisheria

Soma zaidi
  • May 04, 2023

Waziri wa Uwekezaji, Biashara na Viwanda Mhe. Dk Ashatu Kijaji (Mb.) ameliomba Bunge kupitisha bajeti ya zaidi ya Sh bilioni 119.018 mwaka wa fedha 2023-2024

Soma zaidi
  • May 04, 2023

Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) asema ndani ya mwaka mmoja, mifuko na program za uwekezaji wananchi kiuchumi imetoa mikopo yenye thamani ya Sh bilioni 713.8

Soma zaidi
  • Apr 26, 2023

Tanzania na Malawi kukuza uhusiano wa kibiashara  na uwekezaji

Soma zaidi
  • Apr 20, 2023

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb,) aitaka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuratibu vyema sekta ya uwekezaji Nchini.

Soma zaidi
  • Apr 15, 2023

Wafanyabiashara watakiwa kuchangamkia fursa ya soko huru Afrika

Soma zaidi
  • Apr 13, 2023

Mhe. Kigahe atoa rai kwa wazalishaji wa bidhaa zote za viwandani.

Soma zaidi