Habari



- Jul 25, 2023
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Ashatu Kijaji akutana na kufanya mazungumzo na Bi Rossella Lyu na ambaye ni Mwenyekiti na Mkurugenzi wa Kampuni ya GreeC...
Soma zaidi
- Jul 21, 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hashil Abdallah amewataka viongozi wa Wakala wa Vipimo kujikita zaidi kwenye kusaidia uwezeshaji kwenye Biashara
Soma zaidi
- Jul 20, 2023
Prof. Kahyarara awahimiza wafanyabiashara Mkoa wa Geita kuchangamkia fursa ya biashara na uwekezaji hasa katika utoaji huduma ya kulala wageni
Soma zaidi


- Jul 14, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Dkt. Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara
Soma zaidi
- Jul 14, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Exaud Kigahe kuwa Naibu Waziri wa Viwanda
Soma zaidi
- Jul 13, 2023
RAIS DK.MWINYI AZITAKA TAASISI ZA SERIKALI KUONDOA URASIMU KATIKA BIASHARA NCHINI
Soma zaidi
- Jul 07, 2023
Serikali imesema kuwa itahakikisha inaongeza ufanyaji biashara na nchi ya India pamoja na bara la Asia kwa ujumla katika kilimo, teknolojia viwanda na elimu.
Soma zaidi
- Jul 05, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa rai kwa wafanyabishara nchini kutumia maonesho ya kibiashara ya kimataifa ya sabasaba sambamba na fursa za makampuni ya kigen...
Soma zaidi
- Jul 04, 2023
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Shaban Omary amesema ushirikiano baina ya Tanzania na China unawezesha utekelezaji wa Sera ya Uchumi wa...
Soma zaidi
- Jul 01, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu K. Kijaji (Mb.) amehutubia Kongamano la Uhamasishaji Biashara na Uwekezaji baina ya nchi za Afrika na...
Soma zaidi
- Jul 01, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.), Julai 1, 2023 ametembelea banda la Tanzania katika Maonesho ya tatu baina ya China na...
Soma zaidi
- Jun 28, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) ameshiriki uzinduzi wa Ofisi ya Kampuni ya Silent Ocean katika Mji wa Foshani jijini Guan...
Soma zaidi
- Jun 26, 2023
Naibu Waziri Wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amesema Serikali ilibaini kuwa Wadai hawana haki ya kulipwa na Serikali marupurupu yanayotokana...
Soma zaidi
- Jun 24, 2023
Dkt. Abdallah: Serikali itaendelea kuwaenzi kuwalinda na kuwatunza Wawekezaji nchini.
Soma zaidi
- Jun 19, 2023
Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Hasil Abdallah amesema Serikali ya Tanzania inatambua umuhimu mkubwa wa Metrolojia katika sekta ya af...
Soma zaidi
- Jun 14, 2023
Wataalam kutoka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara (Bara), Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda (Zanzibar), Wizara na Taasisi za Umma na Binafsi -Ba...
Soma zaidi